Methali 2:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Hakuna yeyote kati ya wale wanaolala naye atakayerudi, wala hawatayafikia tena mapito ya walio hai.+ Methali 9:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Lakini yeye hajapata kujua kwamba wale wasiojiweza katika kifo wamo humo, kwamba walioitwa naye wamo mahali pa chini pa Kaburi.*+ Yakobo 1:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kisha tamaa, wakati imetunga mimba, huzaa dhambi;+ nayo dhambi, wakati imetimizwa, huleta kifo.+
19 Hakuna yeyote kati ya wale wanaolala naye atakayerudi, wala hawatayafikia tena mapito ya walio hai.+
18 Lakini yeye hajapata kujua kwamba wale wasiojiweza katika kifo wamo humo, kwamba walioitwa naye wamo mahali pa chini pa Kaburi.*+