Methali 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Naye atawawekea wanyoofu hazina ya hekima inayotumika;+ yeye ni ngao kwa wale wanaotembea kwa utimilifu,+ Methali 10:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Anayetembea kwa utimilifu atatembea salama,+ lakini anayepotoa njia zake atajifanya mwenyewe ajulikane.+
7 Naye atawawekea wanyoofu hazina ya hekima inayotumika;+ yeye ni ngao kwa wale wanaotembea kwa utimilifu,+
9 Anayetembea kwa utimilifu atatembea salama,+ lakini anayepotoa njia zake atajifanya mwenyewe ajulikane.+