Zaburi 25:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Utimilifu na unyoofu na zinilinde,+Kwa maana nimekutumainia wewe.+ Methali 28:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Anayetembea pasipo kosa ataokolewa,+ lakini yule ambaye amepotoka katika njia zake ataanguka mara moja.+
18 Anayetembea pasipo kosa ataokolewa,+ lakini yule ambaye amepotoka katika njia zake ataanguka mara moja.+