Zaburi 25:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Utimilifu na unyoofu na zinilinde,+Kwa maana nimekutumainia wewe.+ Zaburi 26:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Unihukumu,+ Ee Yehova, kwa maana nimetembea katika utimilifu wangu,+Nami nimemtumaini Yehova, nisipate kutikisika.+ Mathayo 24:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Lakini yule ambaye atavumilia+ mpaka mwisho ndiye atakayeokolewa.+
26 Unihukumu,+ Ee Yehova, kwa maana nimetembea katika utimilifu wangu,+Nami nimemtumaini Yehova, nisipate kutikisika.+