Zaburi 21:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana mfalme anategemea Yehova,+Naam, fadhili zenye upendo za Aliye Juu Zaidi. Hatatikiswa.+ Zaburi 37:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Sheria ya Mungu wake imo katika moyo wake;+Hatua zake hazitayumba-yumba.+ Methali 3:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mtambue yeye katika njia zako zote,+ naye atanyoosha mapito yako.+ Methali 29:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kutetemeshwa na wanadamu ndiko huleta mtego,+ lakini yeye anayemtegemea Yehova atalindwa.+