Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 23:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Ndipo Daudi akamuuliza+ Yehova, akisema: “Je, niende, na je, niwapige hawa Wafilisti?” Na Yehova akamwambia Daudi: “Nenda, nawe uwapige Wafilisti, uokoe Keila.”

  • 1 Samweli 23:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kwa hiyo Daudi akauliza tena kutoka kwa Yehova.+ Sasa Yehova akamjibu na kusema: “Ondoka, shuka uende Keila, kwa sababu nitawatia Wafilisti mkononi mwako.”+

  • 1 Mambo ya Nyakati 28:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Nawe, Sulemani mwanangu, mjue+ Mungu wa baba yako, umtumikie+ kwa moyo kamili+ na kwa nafsi yenye shangwe;+ kwa maana Yehova anaichunguza mioyo yote,+ naye anatambua kila mwelekeo wa fikira.+ Ukimtafuta, ataacha umpate;+ lakini ukimwacha,+ atakutupa mbali milele.+

  • Nehemia 1:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ah, tafadhali, Yehova, tega sikio lako kwa sala ya mtumishi wako na kwa sala+ ya watumishi wako wanaofurahia kuliogopa jina lako;+ na, tafadhali, mpe mafanikio mtumishi wako leo+ na kumfanya ahurumiwe mbele ya mtu huyu.”+

      Basi mimi nilikuwa mnyweshaji+ wa mfalme.

  • Wafilipi 4:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Msihangaike juu ya kitu chochote,+ bali katika kila jambo kwa sala na dua+ pamoja na kutoa shukrani maombi yenu na yajulishwe Mungu;+

  • Wakolosai 3:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Na lolote lile mnalofanya kwa neno au kwa tendo,+ fanyeni kila jambo katika jina la Bwana Yesu,+ mkimshukuru+ Mungu Baba kupitia yeye.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki