Ezra 7:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 huyo Ezra alitoka Babiloni; naye alikuwa mwandikaji stadi+ katika sheria ya Musa,+ ambayo Yehova Mungu wa Israeli alikuwa ametoa, hata mfalme akampa maombi yake yote, kulingana na mkono wa Yehova Mungu wake juu yake.+ Zaburi 118:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Ah, sasa, Yehova, uokoe, tafadhali!+Ah, sasa, Yehova, ufanikishe, tafadhali!+
6 huyo Ezra alitoka Babiloni; naye alikuwa mwandikaji stadi+ katika sheria ya Musa,+ ambayo Yehova Mungu wa Israeli alikuwa ametoa, hata mfalme akampa maombi yake yote, kulingana na mkono wa Yehova Mungu wake juu yake.+