5 Tazama! nimewafundisha masharti+ na maamuzi ya hukumu,+ kama vile ambavyo Yehova Mungu wangu ameniamuru mimi, ili ninyi mfanye hivyo katikati ya nchi ambayo mnaenda kuimiliki.
5Na Musa akaita Israeli+ wote na kuwaambia: “Sikia, Ee Israeli, masharti na maamuzi ya hukumu+ ambayo ninasema masikioni mwenu leo, nanyi mjifunze hayo na kuwa waangalifu kuyatenda.+
28“Na itatukia kwamba ikiwa hakika utaisikiliza sauti ya Yehova Mungu wako kwa kuwa mwangalifu kutenda amri zake zote ninazokuamuru leo,+ Yehova Mungu wako atakuweka juu, juu ya mataifa mengine yote ya dunia.+