Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 15:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Naye akasema: “Ikiwa utaisikiliza kwa makini sauti ya Yehova Mungu wako na kufanya lililo sawa machoni pake na kutega sikio usikie amri zake na kushika masharti yake yote,+ sitaweka juu yako yoyote ya magonjwa yale niliyoweka juu ya Wamisri;+ kwa sababu mimi ni Yehova anayekuponya.”+

  • Mambo ya Walawi 26:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “‘Mkiendelea kutembea katika sheria zangu na kushika amri zangu na kuzifuata,+

  • Isaya 1:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Ninyi mkionyesha utayari na kusikiliza, mtakula mema ya nchi.+

  • Luka 1:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Wote wawili walikuwa waadilifu+ mbele za Mungu kwa sababu ya kutembea bila lawama+ kulingana na amri+ zote na matakwa ya kisheria+ ya Yehova.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki