Mambo ya Walawi 18:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nanyi mtazishika sheria zangu na maamuzi yangu ya hukumu, ambazo ikiwa mtu atazifanya, yeye pia ataishi kwa hizo.+ Mimi ni Yehova.+ Mambo ya Walawi 20:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Nanyi mtazishika sheria zangu na kuzitenda.+ Mimi ni Yehova, ninayewatakasa ninyi.+ Zaburi 119:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 119 Wenye furaha ni wale wasio na kosa katika njia yao,+Wale wanaotembea katika sheria ya Yehova.+
5 Nanyi mtazishika sheria zangu na maamuzi yangu ya hukumu, ambazo ikiwa mtu atazifanya, yeye pia ataishi kwa hizo.+ Mimi ni Yehova.+