Ezekieli 20:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “ ‘ “Nami nikawapa sheria+ zangu; nayo maamuzi yangu ya hukumu+ nikawajulisha, ili mtu ambaye huendelea kuyafanya aweze pia kuishi kwa hayo.+ Luka 10:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Akamwambia: “Umejibu kwa usahihi; ‘endelea kufanya hivyo nawe utapata uzima.’ ”+ Waroma 10:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana Musa anaandika kwamba mtu ambaye amefanya uadilifu wa Sheria ataishi kwa huo.+ Wagalatia 3:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Sasa Sheria haishikamani na imani, bali “yeye anayezifanya ataishi kwa hizo.”+
11 “ ‘ “Nami nikawapa sheria+ zangu; nayo maamuzi yangu ya hukumu+ nikawajulisha, ili mtu ambaye huendelea kuyafanya aweze pia kuishi kwa hayo.+