Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 8:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa hiyo alikunyenyekeza, akakuacha ukae na njaa,+ akakulisha mana,+ ambayo hukuwa umeijua wala baba zako hawakuwa wameijua; ili kukufanya ujue kwamba mwanadamu haishi kwa mkate tu bali mwanadamu huishi kwa kila neno la kinywa cha Yehova.+

  • Kumbukumbu la Torati 30:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Ikiwa utazisikiliza amri za Yehova Mungu wako, ninazokuamuru leo, ili kumpenda Yehova Mungu wako,+ kutembea katika njia zake na kushika amri+ zake na kanuni zake na maamuzi yake ya hukumu,+ ndipo hakika utakapoendelea kuwa hai+ na kuongezeka, na Yehova Mungu wako atakubariki katika nchi unayoenda kuimiliki.+

  • Luka 10:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Akamwambia: “Umejibu kwa usahihi; ‘endelea kufanya hivyo nawe utapata uzima.’ ”+

  • Waroma 10:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kwa maana Musa anaandika kwamba mtu ambaye amefanya uadilifu wa Sheria ataishi kwa huo.+

  • Wagalatia 3:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Sasa Sheria haishikamani na imani, bali “yeye anayezifanya ataishi kwa hizo.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki