Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 18:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Nanyi mtazishika sheria zangu na maamuzi yangu ya hukumu, ambazo ikiwa mtu atazifanya, yeye pia ataishi kwa hizo.+ Mimi ni Yehova.+

  • Nehemia 9:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Ingawa ulikuwa ukitoa ushahidi+ juu yao ili kuwarudisha kwenye sheria yako,+ wao walitenda kwa kimbelembele+ wala hawakusikiliza amri zako; nao wakayatendea dhambi+ maamuzi yako ya hukumu,+ ambayo, mtu akiyafanya, ataishi pia kwa hayo.+ Nao wakazidi kutokeza bega+ la ukaidi, wakaifanya shingo yao kuwa ngumu,+ wala hawakusikiliza.+

  • Ezekieli 20:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “ ‘ “Nami nikawapa sheria+ zangu; nayo maamuzi yangu ya hukumu+ nikawajulisha, ili mtu ambaye huendelea kuyafanya aweze pia kuishi kwa hayo.+

  • Yohana 17:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Uzima wa milele+ ndio huu, waendelee kupata ujuzi+ juu yako wewe, Mungu wa pekee wa kweli,+ na juu ya yule uliyemtuma, Yesu Kristo.+

  • Waroma 10:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kwa maana Musa anaandika kwamba mtu ambaye amefanya uadilifu wa Sheria ataishi kwa huo.+

  • Wagalatia 3:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Sasa Sheria haishikamani na imani, bali “yeye anayezifanya ataishi kwa hizo.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki