-
Kumbukumbu la Torati 30:16Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
16 Ikiwa utazisikiliza amri za Yehova Mungu wako, ninazokuamuru leo, ili kumpenda Yehova Mungu wako,+ kutembea katika njia zake na kushika amri+ zake na kanuni zake na maamuzi yake ya hukumu,+ ndipo hakika utakapoendelea kuwa hai+ na kuongezeka, na Yehova Mungu wako atakubariki katika nchi unayoenda kuimiliki.+
-
-
Nehemia 9:29Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
29 Ingawa ulikuwa ukitoa ushahidi+ juu yao ili kuwarudisha kwenye sheria yako,+ wao walitenda kwa kimbelembele+ wala hawakusikiliza amri zako; nao wakayatendea dhambi+ maamuzi yako ya hukumu,+ ambayo, mtu akiyafanya, ataishi pia kwa hayo.+ Nao wakazidi kutokeza bega+ la ukaidi, wakaifanya shingo yao kuwa ngumu,+ wala hawakusikiliza.+
-