Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 18:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Nanyi mtazishika sheria zangu na maamuzi yangu ya hukumu, ambazo ikiwa mtu atazifanya, yeye pia ataishi kwa hizo.+ Mimi ni Yehova.+

  • Kumbukumbu la Torati 30:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Ikiwa utazisikiliza amri za Yehova Mungu wako, ninazokuamuru leo, ili kumpenda Yehova Mungu wako,+ kutembea katika njia zake na kushika amri+ zake na kanuni zake na maamuzi yake ya hukumu,+ ndipo hakika utakapoendelea kuwa hai+ na kuongezeka, na Yehova Mungu wako atakubariki katika nchi unayoenda kuimiliki.+

  • Nehemia 9:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Ingawa ulikuwa ukitoa ushahidi+ juu yao ili kuwarudisha kwenye sheria yako,+ wao walitenda kwa kimbelembele+ wala hawakusikiliza amri zako; nao wakayatendea dhambi+ maamuzi yako ya hukumu,+ ambayo, mtu akiyafanya, ataishi pia kwa hayo.+ Nao wakazidi kutokeza bega+ la ukaidi, wakaifanya shingo yao kuwa ngumu,+ wala hawakusikiliza.+

  • Waroma 10:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kwa maana Musa anaandika kwamba mtu ambaye amefanya uadilifu wa Sheria ataishi kwa huo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki