Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 4:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 leo nachukua mbingu na dunia ili ziwe mashahidi dhidi yenu,+ ya kwamba hakika mtaangamia haraka kutoka katika nchi ambayo mnavuka Yordani ili mwimiliki. Hamtarefusha siku zenu juu yake, kwa sababu hakika mtaangamizwa.+

  • Kumbukumbu la Torati 31:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Na itatukia kwamba wakati ambapo misiba mingi na taabu zitawajia,+ wimbo huu lazima pia utashuhudia mbele yao, kwa sababu haupaswi kusahauliwa katika vinywa vya uzao wao, kwa maana najua vema mwelekeo wao+ wanaousitawisha leo kabla sijawaingiza katika nchi niliyowaapia.”

  • 2 Wafalme 17:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 na Yehova akaendelea kuonya+ Israeli+ na Yuda+ kupitia manabii+ wake wote na kila mwonaji,+ akisema: “Geukeni kutoka katika njia zenu mbaya,+ mshike amri+ zangu, sheria+ zangu, kulingana na sheria+ yote niliyowaamuru mababu+ zenu na ambayo nimepeleka kwenu kupitia watumishi wangu manabii”;+

  • 2 Mambo ya Nyakati 24:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Naye akaendelea kutuma manabii+ katikati yao ili kuwarudisha kwa Yehova; nao wakaendelea kutoa ushuhuda juu yao, lakini hawakusikiliza.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki