59 ndipo hakika Yehova atayafanya mapigo yako na mapigo ya uzao wako yawe makali sana, mapigo makuu na yenye kudumu kwa muda mrefu,+ na magonjwa hatari na yenye kudumu kwa muda mrefu.+
22 “Nacho kizazi cha wakati ujao, wana wenu watakaoinuka baada yenu, watalazimika kusema, pia mgeni atakayekuja kutoka katika nchi ya mbali, naam, wakati ambapo wameona mapigo ya nchi hiyo na magonjwa yake ambayo Yehova ameifanya iugue,+