Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 29
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Kumbukumbu la Torati 29:1

Marejeo

  • +Kut 24:8; Law 26:45; Kum 5:2

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, uku. 520

Kumbukumbu la Torati 29:2

Marejeo

  • +Kut 19:4; Kum 7:18; Yos 24:5

Kumbukumbu la Torati 29:3

Marejeo

  • +Kum 4:34; 7:19; Ne 9:17, 19
  • +Hes 14:11
  • +Ne 9:10; Zb 78:43; 105:27

Kumbukumbu la Torati 29:4

Marejeo

  • +Met 20:12; Isa 6:10; Mk 4:12; Ro 11:8; Efe 4:18

Kumbukumbu la Torati 29:5

Marejeo

  • +Kum 1:3; 8:2; Amo 2:10
  • +Kum 8:4; Ne 9:21; Mt 6:31

Kumbukumbu la Torati 29:6

Marejeo

  • +Kut 16:12, 31; Ne 9:15

Kumbukumbu la Torati 29:7

Marejeo

  • +Hes 21:26
  • +Hes 21:33
  • +Zb 135:10, 11

Kumbukumbu la Torati 29:8

Marejeo

  • +Hes 32:33; Kum 3:12

Kumbukumbu la Torati 29:9

Marejeo

  • +Kum 4:6; 8:18; Yos 1:7; 1Fa 2:3; Zb 103:17, 18; Lu 11:28

Kumbukumbu la Torati 29:10

Marejeo

  • +Kum 31:12

Kumbukumbu la Torati 29:11

Marejeo

  • +Ne 8:2
  • +Kut 12:38; Hes 11:4
  • +Yos 9:21

Kumbukumbu la Torati 29:12

Marejeo

  • +Kum 29:1, 29
  • +Kum 1:3

Kumbukumbu la Torati 29:13

Marejeo

  • +Kut 19:5; Kum 7:6; 27:9; 28:9
  • +Kut 6:7; 29:45
  • +Mwa 17:7; 22:16; Yer 11:5; Ebr 6:13
  • +Mwa 26:3; Kut 2:24; Zb 105:9
  • +Mwa 28:13

Kumbukumbu la Torati 29:14

Marejeo

  • +Kum 5:3; Eze 16:60

Kumbukumbu la Torati 29:15

Marejeo

  • +Yer 32:39

Kumbukumbu la Torati 29:16

Marejeo

  • +Kum 2:4

Kumbukumbu la Torati 29:17

Marejeo

  • +Hes 25:2; Eze 20:8

Kumbukumbu la Torati 29:18

Marejeo

  • +Kum 11:16; 17:3; Ebr 3:12
  • +Yer 9:15; Ho. 10:4; Amo 6:12; Mdo 8:23; Ebr 12:15

Kumbukumbu la Torati 29:19

Marejeo

  • +Kum 29:12
  • +Zb 10:6; Yer 5:12; 14:19
  • +Ne 9:29; Met 28:14; Isa 30:1; Yer 3:17; 6:28; Zek 7:12; Ro 1:21; 2:5

Kumbukumbu la Torati 29:20

Marejeo

  • +Kut 34:7; Yos 24:19; Isa 27:11
  • +Zb 74:1
  • +Kut 34:14; Zb 79:5; Eze 23:25
  • +Zb 18:8; Ebr 12:29
  • +Kum 27:26; 28:15

Kumbukumbu la Torati 29:21

Marejeo

  • +Ro 2:5

Kumbukumbu la Torati 29:22

Marejeo

  • +Kum 28:59

Kumbukumbu la Torati 29:23

Marejeo

  • +Amu 9:45; Zb 107:34; Yer 17:6
  • +Zb 11:6
  • +Mwa 19:24; Yud 7
  • +Mwa 10:19
  • +Mwa 14:2; Ho. 11:8
  • +Yer 20:16; Amo 4:11

Kumbukumbu la Torati 29:24

Marejeo

  • +1Fa 9:8; 2Nya 7:21; Yer 22:8

Kumbukumbu la Torati 29:25

Marejeo

  • +Kum 29:12; 1Fa 19:10
  • +Yer 22:9; 31:32

Kumbukumbu la Torati 29:26

Marejeo

  • +Amu 2:12; 1Fa 9:9; 2Fa 17:7; 2Nya 7:22; Yer 19:4

Kumbukumbu la Torati 29:27

Marejeo

  • +Law 26:16; Kum 27:26; 29:20

Kumbukumbu la Torati 29:28

Marejeo

  • +Kum 28:63; 1Fa 14:15; 2Fa 17:18; Zb 52:5; Lu 21:24
  • +Ezr 9:7; Da 9:7

Kumbukumbu la Torati 29:29

Marejeo

  • +Isa 55:8; Ro 11:33; 1Ko 2:16
  • +Amo 3:7; Mt 11:27; Efe 3:5
  • +Zb 78:5; Mhu 12:13; 1Yo 5:3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    5/15/1987, uku. 31

    5/15/1986, kur. 10-15

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

Kum. 29:1Kut 24:8; Law 26:45; Kum 5:2
Kum. 29:2Kut 19:4; Kum 7:18; Yos 24:5
Kum. 29:3Kum 4:34; 7:19; Ne 9:17, 19
Kum. 29:3Hes 14:11
Kum. 29:3Ne 9:10; Zb 78:43; 105:27
Kum. 29:4Met 20:12; Isa 6:10; Mk 4:12; Ro 11:8; Efe 4:18
Kum. 29:5Kum 1:3; 8:2; Amo 2:10
Kum. 29:5Kum 8:4; Ne 9:21; Mt 6:31
Kum. 29:6Kut 16:12, 31; Ne 9:15
Kum. 29:7Hes 21:26
Kum. 29:7Hes 21:33
Kum. 29:7Zb 135:10, 11
Kum. 29:8Hes 32:33; Kum 3:12
Kum. 29:9Kum 4:6; 8:18; Yos 1:7; 1Fa 2:3; Zb 103:17, 18; Lu 11:28
Kum. 29:10Kum 31:12
Kum. 29:11Ne 8:2
Kum. 29:11Kut 12:38; Hes 11:4
Kum. 29:11Yos 9:21
Kum. 29:12Kum 29:1, 29
Kum. 29:12Kum 1:3
Kum. 29:13Kut 19:5; Kum 7:6; 27:9; 28:9
Kum. 29:13Kut 6:7; 29:45
Kum. 29:13Mwa 17:7; 22:16; Yer 11:5; Ebr 6:13
Kum. 29:13Mwa 26:3; Kut 2:24; Zb 105:9
Kum. 29:13Mwa 28:13
Kum. 29:14Kum 5:3; Eze 16:60
Kum. 29:15Yer 32:39
Kum. 29:16Kum 2:4
Kum. 29:17Hes 25:2; Eze 20:8
Kum. 29:18Kum 11:16; 17:3; Ebr 3:12
Kum. 29:18Yer 9:15; Ho. 10:4; Amo 6:12; Mdo 8:23; Ebr 12:15
Kum. 29:19Kum 29:12
Kum. 29:19Zb 10:6; Yer 5:12; 14:19
Kum. 29:19Ne 9:29; Met 28:14; Isa 30:1; Yer 3:17; 6:28; Zek 7:12; Ro 1:21; 2:5
Kum. 29:20Kut 34:7; Yos 24:19; Isa 27:11
Kum. 29:20Zb 74:1
Kum. 29:20Kut 34:14; Zb 79:5; Eze 23:25
Kum. 29:20Zb 18:8; Ebr 12:29
Kum. 29:20Kum 27:26; 28:15
Kum. 29:21Ro 2:5
Kum. 29:22Kum 28:59
Kum. 29:23Amu 9:45; Zb 107:34; Yer 17:6
Kum. 29:23Zb 11:6
Kum. 29:23Mwa 19:24; Yud 7
Kum. 29:23Mwa 10:19
Kum. 29:23Mwa 14:2; Ho. 11:8
Kum. 29:23Yer 20:16; Amo 4:11
Kum. 29:241Fa 9:8; 2Nya 7:21; Yer 22:8
Kum. 29:25Kum 29:12; 1Fa 19:10
Kum. 29:25Yer 22:9; 31:32
Kum. 29:26Amu 2:12; 1Fa 9:9; 2Fa 17:7; 2Nya 7:22; Yer 19:4
Kum. 29:27Law 26:16; Kum 27:26; 29:20
Kum. 29:28Kum 28:63; 1Fa 14:15; 2Fa 17:18; Zb 52:5; Lu 21:24
Kum. 29:28Ezr 9:7; Da 9:7
Kum. 29:29Isa 55:8; Ro 11:33; 1Ko 2:16
Kum. 29:29Amo 3:7; Mt 11:27; Efe 3:5
Kum. 29:29Zb 78:5; Mhu 12:13; 1Yo 5:3
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Kumbukumbu la Torati 29:1-29

Kumbukumbu la Torati

29 Haya ndiyo maneno ya agano ambalo Yehova alimwamuru Musa afanye pamoja na wana wa Israeli katika nchi ya Moabu mbali na lile agano alilofanya pamoja nao katika Horebu.+

2 Naye Musa akaita Israeli wote na kuwaambia: “Ninyi ndio mlioona yote ambayo Yehova alifanya mbele ya macho yenu katika nchi ya Misri kwa Farao na watumishi wake wote na nchi yake yote,+ 3 maonyesho makubwa ambayo macho yako yaliona,+ hizo ishara+ kuu na miujiza.+ 4 Na bado Yehova hajawapa ninyi moyo wa kujua na macho ya kuona na masikio ya kusikia mpaka leo hii.+ 5 ‘Nilipokuwa nikiwaongoza ninyi kwa miaka 40 nyikani,+ mavazi yenu hayakuchakaa juu yenu, na kiatu chako hakikuchakaa kwenye mguu wako.+ 6 Mkate hamkula,+ na divai na kileo hamkunywa, ili mjue kwamba mimi ni Yehova Mungu wenu.’ 7 Mwishowe mkaja mahali hapa, na Sihoni mfalme wa Heshboni+ na Ogu+ mfalme wa Bashani wakatoka kukutana nasi katika pigano, lakini tukawashinda.+ 8 Baada ya hilo tukachukua nchi yao na kuwapa Warubeni na Wagadi na nusu ya kabila la Manase iwe urithi.+ 9 Basi lazima mshike maneno ya agano hili na kuyatenda, ili kila kitu mnachofanya kiwe na matokeo mazuri.+

10 “Ninyi nyote mmesimama mbele za Yehova Mungu wenu, vichwa vya makabila yenu, wanaume wenu wazee na maofisa wenu, kila mtu wa Israeli,+ 11 watoto wenu, wake+ zenu, na mkaaji wako mgeni+ aliye katikati ya kambi yako, kuanzia mkusanya-kuni wako mpaka mteka-maji+ wako, 12 ili uingie katika agano+ la Yehova Mungu wako na kiapo chake, ambalo Yehova Mungu wako anafanya pamoja nawe leo;+ 13 kwa kusudi la kukusimamisha wewe leo kuwa kikundi chake cha watu+ na kwamba yeye ajionyeshe kuwa Mungu wako,+ kama vile ambavyo amekuahidi wewe na kama vile ambavyo amewaapia mababu zako Abrahamu,+ Isaka+ na Yakobo.+

14 “Sasa si ninyi peke yenu ninaofanya pamoja nanyi agano hili na kiapo hiki,+ 15 bali ni pamoja na yule anayesimama nasi hapa leo mbele za Yehova Mungu wetu na pamoja na wale ambao hawako hapa pamoja nasi leo;+ 16 (kwa maana ninyi wenyewe mnajua vema jinsi tulivyokaa katika nchi ya Misri na jinsi tulivyopita katikati ya mataifa ambayo mlipita katikati yake.+ 17 Nanyi mlikuwa mkiona vitu vyao vyenye kuchukiza na sanamu zao za mavi,+ miti na mawe, fedha na dhahabu, zilizokuwa ndani yake;) 18 ili pasiwe kati yenu mwanamume au mwanamke au familia au kabila ambalo moyo wake leo unageuka mbali na Yehova Mungu wetu ili kwenda na kuitumikia miungu ya mataifa hayo;+ ili kusiwe kati yenu mzizi unaozaa tunda la mti wenye sumu na pakanga.+

19 “Na itatukia kwamba wakati ambapo mtu atakuwa amesikia maneno ya kiapo hiki,+ naye amejibariki moyoni mwake, na kusema, ‘Nitakuwa na amani,+ ijapokuwa nitatembea katika ukaidi wa moyo wangu,’+ kwa kusudi la kumfagilia mbali aliyenyweshwa maji vizuri pamoja na mwenye kiu, 20 Yehova hatataka kumsamehe,+ lakini hasira ya Yehova+ na ukali+ wake utatoa moshi juu ya mtu huyo,+ na kiapo chote ambacho kimeandikwa katika kitabu hiki+ hakika kitamkalia, na Yehova kwa kweli atafutilia mbali jina lake kutoka chini ya mbingu. 21 Basi Yehova atamtenga+ kwa ajili ya msiba mbali na makabila yote ya Israeli kupatana na kiapo chote cha agano ambacho kimeandikwa katika kitabu hiki cha sheria.

22 “Nacho kizazi cha wakati ujao, wana wenu watakaoinuka baada yenu, watalazimika kusema, pia mgeni atakayekuja kutoka katika nchi ya mbali, naam, wakati ambapo wameona mapigo ya nchi hiyo na magonjwa yake ambayo Yehova ameifanya iugue,+ 23 kiberiti na chumvi+ na kuwaka,+ hivi kwamba nchi yake yote haitapandwa, wala kuchipuka, wala mmea wowote hautachipuka ndani yake, kama maangamizi ya Sodoma na Gomora,+ Adma+ na Seboiimu,+ ambayo Yehova aliangamiza katika hasira yake na katika ghadhabu yake;+ 24 naam, mataifa yote yatalazimika kusema, ‘Kwa nini Yehova aliitendea hivi nchi hii?+ Joto la hasira hii kuu ni la nini?’ 25 Ndipo watalazimika kusema, ‘Ni kwa sababu waliliacha agano+ la Yehova Mungu wa mababu zao, ambalo alifanya pamoja nao alipowatoa katika nchi ya Misri.+ 26 Nao walienda na kuitumikia miungu mingine na kuiinamia, miungu ambayo hawakuwa wameijua naye hakuwa amewapa.+ 27 Ndipo hasira ya Yehova ikawaka juu ya nchi hiyo kwa kuleta juu yake laana yote iliyoandikwa katika kitabu hiki.+ 28 Basi Yehova akawang’oa kutoka katika udongo wao kwa hasira+ na ghadhabu na ukali mwingi na kuwatupa katika nchi nyingine kama ilivyo kufikia leo hii.’+

29 “Mambo yaliyofichwa+ ni ya Yehova Mungu wetu, bali mambo yaliyofunuliwa+ ni yetu na wana wetu mpaka wakati usio na kipimo, ili tupate kuyatimiza maneno yote ya sheria hii.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki