Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 10:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Amesema katika moyo wake: “Sitatikiswa;+

      Kizazi baada ya kizazi sitakuwa katika msiba.”+

  • Yeremia 5:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Wamemkana Yehova, nao wanaendelea kusema, ‘Yeye hayuko.+ Na hakuna msiba utakaokuja juu yetu, nasi hatutaona upanga wala njaa.’+

  • Yeremia 14:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Je, umeikataa Yuda kabisa,+ au, je, nafsi yako imechukia Sayuni?+ Kwa nini umetupiga, hivi kwamba hakuna maponyo kwa ajili yetu?+ Amani ilitumainiwa, lakini hakuna mema yaliyokuja; na wakati wa kuponywa, na, tazama! hofu!+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki