Zaburi 10:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Amesema katika moyo wake: “Sitatikiswa;+Kizazi baada ya kizazi sitakuwa katika msiba.”+ Yeremia 5:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Wamemkana Yehova, nao wanaendelea kusema, ‘Yeye hayuko.+ Na hakuna msiba utakaokuja juu yetu, nasi hatutaona upanga wala njaa.’+ Yeremia 14:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Je, umeikataa Yuda kabisa,+ au, je, nafsi yako imechukia Sayuni?+ Kwa nini umetupiga, hivi kwamba hakuna maponyo kwa ajili yetu?+ Amani ilitumainiwa, lakini hakuna mema yaliyokuja; na wakati wa kuponywa, na, tazama! hofu!+
12 “Wamemkana Yehova, nao wanaendelea kusema, ‘Yeye hayuko.+ Na hakuna msiba utakaokuja juu yetu, nasi hatutaona upanga wala njaa.’+
19 Je, umeikataa Yuda kabisa,+ au, je, nafsi yako imechukia Sayuni?+ Kwa nini umetupiga, hivi kwamba hakuna maponyo kwa ajili yetu?+ Amani ilitumainiwa, lakini hakuna mema yaliyokuja; na wakati wa kuponywa, na, tazama! hofu!+