16 Lakini waliendelea kuwadhihaki+ wale wajumbe wa Mungu wa kweli na kuyadharau maneno+ yake na kuwafanyia mzaha+ manabii wake, mpaka ghadhabu+ ya Yehova ikapanda juu ya watu wake, mpaka kukawa hakuna kuponywa.+
18 Kwa nini maumivu yangu yamekuwa yenye kudumu+ na pigo langu haliponi?+ Limekataa kupona. Hakika wewe unakuwa kwangu kama udanganyifu,+ kama maji yasiyotegemeka.+