Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 36:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Lakini waliendelea kuwadhihaki+ wale wajumbe wa Mungu wa kweli na kuyadharau maneno+ yake na kuwafanyia mzaha+ manabii wake, mpaka ghadhabu+ ya Yehova ikapanda juu ya watu wake, mpaka kukawa hakuna kuponywa.+

  • Yeremia 8:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Je, hakuna zeri katika Gileadi?+ Au, je, hakuna mponyaji humo?+ Kwa nini, basi, kupona+ kwa binti ya watu wangu hakujatokea?+

  • Yeremia 15:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa nini maumivu yangu yamekuwa yenye kudumu+ na pigo langu haliponi?+ Limekataa kupona. Hakika wewe unakuwa kwangu kama udanganyifu,+ kama maji yasiyotegemeka.+

  • Maombolezo 2:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Nitakutumia kama shahidi juu ya nini? Nitakufananisha na nini, Ee binti Yerusalemu?+

      Nitakulinganisha na nini, ili nikufariji, Ee binti Sayuni uliye bikira?+

      Kwa maana mvunjiko+ wako ni mkubwa kama bahari. Ni nani anayeweza kukuponya?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki