Maombolezo 2:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ninaweza kutumia nini kama ushahidi,Au ninaweza kukufananisha na nini, Ee binti ya Yerusalemu? Ninaweza kukulinganisha na nini, ili nikufariji, Ee bikira binti ya Sayuni? Kwa maana jeraha lako* ni kubwa kama bahari.+ Ni nani anayeweza kukuponya?+
13 Ninaweza kutumia nini kama ushahidi,Au ninaweza kukufananisha na nini, Ee binti ya Yerusalemu? Ninaweza kukulinganisha na nini, ili nikufariji, Ee bikira binti ya Sayuni? Kwa maana jeraha lako* ni kubwa kama bahari.+ Ni nani anayeweza kukuponya?+