Yeremia 14:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Unapaswa kuwaambia neno hili,‘Macho yangu na yabubujike machozi usiku na mchana, yasiishe,+Kwa maana bikira, binti ya watu wangu amepondwa kabisa na kuvunjwa,+Kwa jeraha baya sana. Danieli 9:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Umetimiza maneno uliyosema dhidi yetu+ na dhidi ya watawala wetu waliotutawala,* kwa kutuletea msiba mkubwa; hakuna jambo lililowahi kufanywa chini ya mbingu zote kama jambo lililofanywa Yerusalemu.+
17 “Unapaswa kuwaambia neno hili,‘Macho yangu na yabubujike machozi usiku na mchana, yasiishe,+Kwa maana bikira, binti ya watu wangu amepondwa kabisa na kuvunjwa,+Kwa jeraha baya sana.
12 Umetimiza maneno uliyosema dhidi yetu+ na dhidi ya watawala wetu waliotutawala,* kwa kutuletea msiba mkubwa; hakuna jambo lililowahi kufanywa chini ya mbingu zote kama jambo lililofanywa Yerusalemu.+