-
Yeremia 8:18Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
18 Huzuni yangu haiwezi kuponywa;
Moyo wangu ni mgonjwa.
-
-
Yeremia 8:21Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
Nimepatwa na mshtuko.
-
-
Yeremia 9:1Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
Ndipo ningelia usiku na mchana
Kwa ajili ya watu wangu waliouawa.
-