2 Mambo ya Nyakati 30:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa hiyo wale wakimbiaji+ wakaendelea, wakapita jiji baada ya jiji katika nchi yote ya Efraimu+ na Manase, mpaka Zabuloni; lakini wakaendelea kuwafanyia mzaha na kuwadharau.+ Zaburi 35:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kati ya wenye dhihaka, walioasi imani, kwa ajili ya keki,+Kulikuwako kusaga meno yao dhidi yangu.+
10 Kwa hiyo wale wakimbiaji+ wakaendelea, wakapita jiji baada ya jiji katika nchi yote ya Efraimu+ na Manase, mpaka Zabuloni; lakini wakaendelea kuwafanyia mzaha na kuwadharau.+
16 Kati ya wenye dhihaka, walioasi imani, kwa ajili ya keki,+Kulikuwako kusaga meno yao dhidi yangu.+