2 Mambo ya Nyakati 30:1 Biblia TakatifuāTafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Na Hezekia akatuma ujumbe kwa Israeli+ wote na Yuda, na hata akaandika barua kwa Efraimu+ na Manase,+ waje Yerusalemu katika nyumba ya Yehova+ ili kumfanyia pasaka+ Yehova Mungu wa Israeli.
30 Na Hezekia akatuma ujumbe kwa Israeli+ wote na Yuda, na hata akaandika barua kwa Efraimu+ na Manase,+ waje Yerusalemu katika nyumba ya Yehova+ ili kumfanyia pasaka+ Yehova Mungu wa Israeli.