Kutoka 12:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Na Yehova akamwambia Musa na Haruni: “Hii ndiyo sheria ya pasaka:+ Hakuna mgeni yeyote atakayeila.+ Mambo ya Walawi 23:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Katika mwezi wa kwanza, katika siku ya kumi na nne ya mwezi huo,+ katikati ya zile jioni mbili ni pasaka+ kwa Yehova. 2 Mambo ya Nyakati 35:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Ndipo Yosia+ akamfanyia Yehova pasaka+ katika Yerusalemu nao wakachinja mnyama wa pasaka+ katika siku ya kumi na nne+ ya mwezi wa kwanza.+ 1 Wakorintho 5:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ondoleeni mbali chachu ya zamani, ili muwe donge jipya,+ kulingana na mlivyo bila chachu. Kwa maana, kwa kweli, Kristo+ pasaka+ yetu ametolewa dhabihu.+
43 Na Yehova akamwambia Musa na Haruni: “Hii ndiyo sheria ya pasaka:+ Hakuna mgeni yeyote atakayeila.+
5 Katika mwezi wa kwanza, katika siku ya kumi na nne ya mwezi huo,+ katikati ya zile jioni mbili ni pasaka+ kwa Yehova.
35 Ndipo Yosia+ akamfanyia Yehova pasaka+ katika Yerusalemu nao wakachinja mnyama wa pasaka+ katika siku ya kumi na nne+ ya mwezi wa kwanza.+
7 Ondoleeni mbali chachu ya zamani, ili muwe donge jipya,+ kulingana na mlivyo bila chachu. Kwa maana, kwa kweli, Kristo+ pasaka+ yetu ametolewa dhabihu.+