Kutoka 12:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na hivi ndivyo mtakavyokula, viuno vyenu vikiwa vimefungwa mshipi,+ viatu+ vikiwa miguuni penu na fimbo yenu mkononi mwenu; nanyi mtaila haraka haraka. Ni pasaka ya Yehova.+ Mambo ya Walawi 23:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Katika mwezi wa kwanza, katika siku ya kumi na nne ya mwezi huo,+ katikati ya zile jioni mbili ni pasaka+ kwa Yehova. Hesabu 9:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Sasa wana wa Israeli watatayarisha dhabihu ya pasaka+ katika wakati wake uliowekwa.+
11 Na hivi ndivyo mtakavyokula, viuno vyenu vikiwa vimefungwa mshipi,+ viatu+ vikiwa miguuni penu na fimbo yenu mkononi mwenu; nanyi mtaila haraka haraka. Ni pasaka ya Yehova.+
5 Katika mwezi wa kwanza, katika siku ya kumi na nne ya mwezi huo,+ katikati ya zile jioni mbili ni pasaka+ kwa Yehova.