Hesabu 28:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “‘Na katika mwezi wa kwanza, siku ya kumi na nne ya mwezi huo, itakuwa pasaka ya Yehova.+ Kumbukumbu la Torati 16:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Bali mahali ambapo Yehova Mungu wako atapachagua ili jina lake likae,+ hapo utatoa dhabihu ya pasaka wakati wa jioni mara tu baada ya jua kutua,+ wakati uliowekwa wa kutoka kwenu Misri.
6 Bali mahali ambapo Yehova Mungu wako atapachagua ili jina lake likae,+ hapo utatoa dhabihu ya pasaka wakati wa jioni mara tu baada ya jua kutua,+ wakati uliowekwa wa kutoka kwenu Misri.