Kumbukumbu la Torati 16:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Bali mtafanya hivyo mahali ambapo Yehova Mungu wenu atachagua jina lake likae hapo. Mnapaswa kutoa dhabihu ya Pasaka wakati wa jioni mara tu baada ya jua kutua,+ wakati uleule mliotoka Misri. Kumbukumbu la Torati Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 16:6 Mnara wa Mlinzi,2/15/1990, uku. 10
6 Bali mtafanya hivyo mahali ambapo Yehova Mungu wenu atachagua jina lake likae hapo. Mnapaswa kutoa dhabihu ya Pasaka wakati wa jioni mara tu baada ya jua kutua,+ wakati uleule mliotoka Misri.