3 Liambieni kusanyiko lote la Waisraeli hivi: ‘Siku ya kumi ya mwezi huu, kila mmoja wao anapaswa kuchukua kondoo kwa ajili ya nyumba ya baba yake, kondoo+ mmoja kwa kila nyumba.
2 “Waisraeli wanapaswa kutayarisha dhabihu ya Pasaka+ wakati wake uliopangwa.+3 Siku ya 14 ya mwezi huo kabla ya giza kuingia,* mnapaswa kuitayarisha wakati wake uliopangwa. Mnapaswa kuitayarisha kulingana na sheria zake zote na utaratibu wake wote uliowekwa.”+