Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 12:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Liambieni kusanyiko lote la Waisraeli hivi: ‘Siku ya kumi ya mwezi huu, kila mmoja wao anapaswa kuchukua kondoo kwa ajili ya nyumba ya baba yake, kondoo+ mmoja kwa kila nyumba.

  • Kutoka 12:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Mtamtunza mpaka siku ya 14 ya mwezi huu,+ na familia zote katika kusanyiko la Israeli zinapaswa kumchinja jioni kabla ya giza kuingia.*+

  • Hesabu 9:2, 3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Waisraeli wanapaswa kutayarisha dhabihu ya Pasaka+ wakati wake uliopangwa.+ 3 Siku ya 14 ya mwezi huo kabla ya giza kuingia,* mnapaswa kuitayarisha wakati wake uliopangwa. Mnapaswa kuitayarisha kulingana na sheria zake zote na utaratibu wake wote uliowekwa.”+

  • Mathayo 26:19, 20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Basi, wanafunzi wakafanya kama Yesu alivyowaagiza, wakaandaa Pasaka.

      20 Ilipofika jioni,+ Yesu alikuwa ameketi mezani pamoja na wale wanafunzi 12.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki