Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Marko 14:17-21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Ilipofika jioni akaja pamoja na wale 12.+ 18 Walipokuwa wameketi mezani wakila, Yesu akasema: “Kwa kweli ninawaambia, mmoja wenu anayekula pamoja nami atanisaliti.”+ 19 Wakaanza kuhuzunika na kumuuliza mmoja baada ya mwingine: “Je, ni mimi?” 20 Akawaambia: “Ni mmoja kati yenu 12, anayechovya pamoja nami katika bakuli.+ 21 Kwa maana Mwana wa binadamu anaenda zake, kama ilivyoandikwa kumhusu, lakini ole wake mtu atakayemsaliti Mwana wa binadamu!+ Ingekuwa afadhali kama mtu huyo hangezaliwa.”+

  • Luka 22:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Wakati ulipofika, akaketi mezani pamoja na mitume.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki