-
Marko 14:21Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
21 Kweli, Mwana wa binadamu anaenda zake, kama vile imeandikwa kumhusu, lakini ole wa mtu huyo ambaye kupitia yeye Mwana wa binadamu asalitiwa! Ingalikuwa bora zaidi kwa mtu huyo kama hangalizaliwa.”
-