21 Kwa maana Mwana wa binadamu anaenda zake, kama ilivyoandikwa kumhusu, lakini ole wake mtu atakayemsaliti Mwana wa binadamu!+ Ingekuwa afadhali kama mtu huyo hangezaliwa.”+
21 Kwa kweli, Mwana wa binadamu anaenda zake, kama ilivyoandikwa kumhusu, lakini ole wake mtu yule ambaye kupitia kwake Mwana wa binadamu atasalitiwa! Ingalikuwa afadhali kama mtu huyo asingalizaliwa.”+