Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 41:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Hata mtu niliyekuwa na amani naye, ambaye nilimwamini,+

      Aliyekuwa akila mkate wangu, amekiinua kisigino chake dhidi yangu.*+

  • Mathayo 26:21, 22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Walipokuwa wakila, akasema: “Kwa kweli ninawaambia, mmoja wenu atanisaliti.”+ 22 Wakiwa wamehuzunishwa sana na jambo hilo, kila mmoja wao akaanza kumuuliza: “Bwana, je, ni mimi?”

  • Luka 22:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “Lakini tazameni! mkono wa msaliti wangu uko pamoja nami mezani.+

  • Luka 22:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Kwa hiyo wakaanza kuulizana ni nani kati yao ambaye angemsaliti.+

  • Yohana 13:21, 22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Baada ya kusema mambo hayo, Yesu akataabika rohoni, naye akatoa ushahidi akisema: “Kwa kweli ninawaambia, mmoja wenu atanisaliti.”+ 22 Wanafunzi wakaanza kutazamana, bila kujua alikuwa akisema kuhusu nani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki