21 Walipokuwa wakila, akasema: “Kwa kweli ninawaambia, mmoja wenu atanisaliti.”+22 Wakiwa wamehuzunishwa sana na jambo hilo, kila mmoja wao akaanza kumuuliza: “Bwana, je, ni mimi?”
21 Baada ya kusema mambo hayo, Yesu akataabika rohoni, naye akatoa ushahidi akisema: “Kwa kweli ninawaambia, mmoja wenu atanisaliti.”+22 Wanafunzi wakaanza kutazamana, bila kujua alikuwa akisema kuhusu nani.+