21 “Lakini tazameni! mkono wa msaliti wangu uko pamoja nami mezani.+22 Kwa kweli, Mwana wa binadamu anaenda zake kama ilivyotabiriwa;+ lakini ole wake mtu atakayemsaliti!”+23 Kwa hiyo wakaanza kuulizana ni nani kati yao ambaye angemsaliti.+
21 Baada ya kusema mambo hayo, Yesu akataabika rohoni, naye akatoa ushahidi akisema: “Kwa kweli ninawaambia, mmoja wenu atanisaliti.”+22 Wanafunzi wakaanza kutazamana, bila kujua alikuwa akisema kuhusu nani.+