Mathayo 26:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa kweli, Mwana wa binadamu anaenda zake, kama ilivyoandikwa kumhusu, lakini ole+ wake mtu atakayemsaliti Mwana wa binadamu!+ Ingekuwa afadhali kama mtu huyo hangezaliwa.”+
24 Kwa kweli, Mwana wa binadamu anaenda zake, kama ilivyoandikwa kumhusu, lakini ole+ wake mtu atakayemsaliti Mwana wa binadamu!+ Ingekuwa afadhali kama mtu huyo hangezaliwa.”+