Zaburi 41:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Hata mtu niliyekuwa na amani naye, ambaye nilimwamini,+Aliyekuwa akila mkate wangu, amekiinua kisigino chake dhidi yangu.*+ Mathayo 26:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Walipokuwa wakila, akasema: “Kwa kweli ninawaambia, mmoja wenu atanisaliti.”+ Marko 14:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Walipokuwa wameketi mezani wakila, Yesu akasema: “Kwa kweli ninawaambia, mmoja wenu anayekula pamoja nami atanisaliti.”+ Yohana 13:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Baada ya kusema mambo hayo, Yesu akataabika rohoni, naye akatoa ushahidi akisema: “Kwa kweli ninawaambia, mmoja wenu atanisaliti.”+
9 Hata mtu niliyekuwa na amani naye, ambaye nilimwamini,+Aliyekuwa akila mkate wangu, amekiinua kisigino chake dhidi yangu.*+
18 Walipokuwa wameketi mezani wakila, Yesu akasema: “Kwa kweli ninawaambia, mmoja wenu anayekula pamoja nami atanisaliti.”+
21 Baada ya kusema mambo hayo, Yesu akataabika rohoni, naye akatoa ushahidi akisema: “Kwa kweli ninawaambia, mmoja wenu atanisaliti.”+