18 Sisemi kuwahusu ninyi nyote; ninawajua wale ambao nimewachagua. Lakini ilikuwa hivyo ili andiko hili litimizwe:+ ‘Yule aliyekuwa akila mkate wangu amekiinua kisigino chake dhidi yangu.’*+
26 Yesu akajibu: “Ni yule ambaye nitampa kipande cha mkate ninachochovya.”+ Basi, akachovya kipande cha mkate, kisha akampa Yuda, mwana wa Simoni Iskariote.