Zaburi 41:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Hata mtu niliyekuwa na amani naye, ambaye nilimwamini,+Aliyekuwa akila mkate wangu, amekiinua kisigino chake dhidi yangu.*+ Mathayo 26:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Akawajibu: “Anayechovya mkono wake pamoja nami katika bakuli ndiye atakayenisaliti.+
9 Hata mtu niliyekuwa na amani naye, ambaye nilimwamini,+Aliyekuwa akila mkate wangu, amekiinua kisigino chake dhidi yangu.*+