Zaburi 41:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Hata mtu niliyekuwa na amani naye, ambaye nilimwamini,+Aliyekuwa akila mkate wangu, amekiinua kisigino chake dhidi yangu.*+ Marko 14:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Akawaambia: “Ni mmoja kati yenu 12, anayechovya pamoja nami katika bakuli.+ Luka 22:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “Lakini tazameni! mkono wa msaliti wangu uko pamoja nami mezani.+ Yohana 13:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Yesu akajibu: “Ni yule ambaye nitampa kipande cha mkate ninachochovya.”+ Basi, akachovya kipande cha mkate, kisha akampa Yuda, mwana wa Simoni Iskariote.
9 Hata mtu niliyekuwa na amani naye, ambaye nilimwamini,+Aliyekuwa akila mkate wangu, amekiinua kisigino chake dhidi yangu.*+
26 Yesu akajibu: “Ni yule ambaye nitampa kipande cha mkate ninachochovya.”+ Basi, akachovya kipande cha mkate, kisha akampa Yuda, mwana wa Simoni Iskariote.