Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 1:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Siku iliyofuata alimwona Yesu akimjia, naye akasema: “Ona, Mwanakondoo+ wa Mungu ambaye huondoa dhambi+ ya ulimwengu!+

  • 1 Wakorintho 5:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Ondoeni chachu ya zamani, ili muwe donge jipya, kwa kuwa ninyi hamna chachu. Kwa maana, kwa kweli, Kristo mwanakondoo wetu wa Pasaka+ ametolewa dhabihu.+

  • Ufunuo 5:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Nami nikamwona mwanakondoo+ aliyeonekana kana kwamba amechinjwa,+ akiwa amesimama katikati ya kile kiti cha ufalme na katikati ya wale viumbe hai wanne na katikati ya wale wazee,+ akiwa na pembe saba na macho saba, na macho hayo yanamaanisha roho saba za Mungu+ ambazo zimetumwa katika dunia nzima.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki