-
Ufunuo 5:6Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
6 Nami nikaona amesimama katikati ya kiti cha ufalme na ya wale viumbe hai wanne na katikati ya wale wazee mwana-kondoo kama kwamba alikuwa amechinjwa, mwenye pembe saba na macho saba, macho ambayo yamaanisha roho saba za Mungu ambazo zimetumwa kuingia katika dunia nzima.
-