Yohana 19:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Sasa, alipokuwa amepokea ile divai kali, Yesu akasema: “Imetimizwa!”+ na, akiinamisha kichwa chake, akaitoa roho yake.+ Ufunuo 5:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 wakisema kwa sauti kubwa: “Mwana-Kondoo aliyechinjwa+ anastahili kupokea uwezo na utajiri na hekima na nguvu na heshima na utukufu na baraka.”+
30 Sasa, alipokuwa amepokea ile divai kali, Yesu akasema: “Imetimizwa!”+ na, akiinamisha kichwa chake, akaitoa roho yake.+
12 wakisema kwa sauti kubwa: “Mwana-Kondoo aliyechinjwa+ anastahili kupokea uwezo na utajiri na hekima na nguvu na heshima na utukufu na baraka.”+