Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 104:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Ukiuficha uso wako, wanaingiwa na wasiwasi.+

      Ukiiondoa roho yao, wanakata pumzi,+

      Na kurudi katika mavumbi yao.+

  • Isaya 53:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa sababu hiyo nitampa fungu katikati ya wengi,+ naye atagawa nyara pamoja na wenye nguvu,+ kwa sababu aliimwaga nafsi yake mpaka kufa,+ naye alihesabiwa pamoja na wakosaji;+ naye mwenyewe aliichukua dhambi ya watu wengi,+ aliingilia kati kwa ajili ya wakosaji.+

  • Mathayo 27:50
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 50 Tena Yesu akapaaza sauti kubwa, akaitoa roho yake.+

  • Marko 15:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Lakini Yesu akatoa kilio kikubwa, akakata pumzi.+

  • Luka 23:46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 Na Yesu akaita kwa sauti kubwa na kusema: “Baba, ninaikabidhi roho yangu mikononi mwako.”+ Alipokuwa amesema jambo hilo, akakata pumzi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki