Zaburi 31:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Naikabidhi roho yangu mkononi mwako.+Umenikomboa,+ Ee Yehova Mungu wa ukweli.+ Mathayo 27:50 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 Tena Yesu akapaaza sauti kubwa, akaitoa roho yake.+ Luka 23:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Na Yesu akaita kwa sauti kubwa na kusema: “Baba, ninaikabidhi roho yangu mikononi mwako.”+ Alipokuwa amesema jambo hilo, akakata pumzi.+ Yohana 19:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Sasa, alipokuwa amepokea ile divai kali, Yesu akasema: “Imetimizwa!”+ na, akiinamisha kichwa chake, akaitoa roho yake.+
46 Na Yesu akaita kwa sauti kubwa na kusema: “Baba, ninaikabidhi roho yangu mikononi mwako.”+ Alipokuwa amesema jambo hilo, akakata pumzi.+
30 Sasa, alipokuwa amepokea ile divai kali, Yesu akasema: “Imetimizwa!”+ na, akiinamisha kichwa chake, akaitoa roho yake.+