Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 12:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Katika mwezi wa kwanza, siku ya 14 ya mwezi huo, jioni, mnapaswa kula mikate isiyo na chachu mpaka siku ya 21 ya mwezi huo, jioni.+

  • Mambo ya Walawi 23:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Katika siku ya 14 ya mwezi wa kwanza,+ wakati wa jioni kabla ya giza kuingia* ni Pasaka+ ya Yehova.

  • Kumbukumbu la Torati 16:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Bali mtafanya hivyo mahali ambapo Yehova Mungu wenu atachagua jina lake likae hapo. Mnapaswa kutoa dhabihu ya Pasaka wakati wa jioni mara tu baada ya jua kutua,+ wakati uleule mliotoka Misri.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki