2 “Waisraeli wanapaswa kutayarisha dhabihu ya Pasaka+ wakati wake uliopangwa.+ 3 Siku ya 14 ya mwezi huo kabla ya giza kuingia, mnapaswa kuitayarisha wakati wake uliopangwa. Mnapaswa kuitayarisha kulingana na sheria zake zote na utaratibu wake wote uliowekwa.”+