21 Papo hapo Musa akawaita wanaume wote wazee wa Israeli+ na kuwaambia: “Toeni na kujichukulia kondoo na mbuzi kulingana na familia zenu, na kuchinja mnyama wa pasaka.+
7 Ondoleeni mbali chachu ya zamani, ili muwe donge jipya,+ kulingana na mlivyo bila chachu. Kwa maana, kwa kweli, Kristo+ pasaka+ yetu ametolewa dhabihu.+