16 Wewe nenda, uwakusanye wanaume wazee wa Israeli, na kuwaambia, ‘Yehova Mungu wa mababu zenu amenitokea,+ Mungu wa Abrahamu, Isaka na Yakobo, na kusema: “Hakika nitaelekeza fikira+ kwenu na kwa yale mnayotendewa katika Misri.
16 Basi Yehova akamwambia Musa: “Nikusanyie wanaume 70 kati ya wanaume wazee wa Israeli,+ ambao unajua kwamba ni wanaume wazee wa watu na maofisa wao,+ nawe utawapeleka kwenye hema la mkutano, nao watasimama hapo pamoja nawe.