24 Mwishowe Yosefu akawaambia ndugu zake: “Ninakufa; lakini Mungu hatakosa kuwaelekezea fikira zake,+ naye kwa hakika atawatoa katika nchi hii na kuwapeleka mpaka nchi ambayo aliwaapia Abrahamu, Isaka na Yakobo.”+
19 Na Musa akaichukua mifupa ya Yosefu pamoja naye, kwa sababu alikuwa amewafanya wana wa Israeli waape rasmi, na kusema: “Bila shaka Mungu atawaelekezea ninyi fikira,+ nanyi lazima mwichukue mifupa yangu kutoka hapa pamoja nanyi.”+