Isaya 63:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa nini, Ee Yehova, unaendelea kutufanya tutange-tange kutoka katika njia zako? Kwa nini unafanya moyo wetu uwe mgumu ili usikuogope?+ Rudi kwa ajili ya watumishi wako, makabila ya fungu lako la urithi.+ Malaki 3:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Tangu siku za mababu zenu mmeyaacha masharti yangu wala hamkuyashika.+ Rudini kwangu, nami nitarudi kwenu,”+ Yehova wa majeshi amesema. Nanyi mmesema: “Tutarudi kwa njia gani?”
17 Kwa nini, Ee Yehova, unaendelea kutufanya tutange-tange kutoka katika njia zako? Kwa nini unafanya moyo wetu uwe mgumu ili usikuogope?+ Rudi kwa ajili ya watumishi wako, makabila ya fungu lako la urithi.+
7 Tangu siku za mababu zenu mmeyaacha masharti yangu wala hamkuyashika.+ Rudini kwangu, nami nitarudi kwenu,”+ Yehova wa majeshi amesema. Nanyi mmesema: “Tutarudi kwa njia gani?”